Timu ya Juventus wamefanikiwa kuipata saini ya Sami Khedira kutoka Real Madrid ya Hispania
Mchezaji huyo mwenye miaka 28 amekosa namba ya kudumu kwenye kikosi cha Madrid, atajiunga na Juventus kama mchezaji huru ifikapo julai mosi kwa mkataba wa miaka minne na kibibi kizeee hicho cha Turin
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumanne, 9 Juni 2015
JUVENTUS YAMSAJILI KHEDIRA....
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni