STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 13 Juni 2015

MCHEZAJI WA NIGERIA AFARIKI AKIWA UWANJANI




Beki wa Mnigerian, David Faramola Oniya ameanguka ghafla na kufariki dunia uwanjani.


Oniya aliyekuwa anaichezea T Team iliyokuwa ikipiga mechi ya kirafiki dhidi ya Kelantan alianguka na kufariki dunia.

Mnigeria huyo aliyekuwa na miaka 30 alianza mechi hiyo akionekana ni mwenye afya njema kabisa.


Licha ya kukimbizwa hospitali ikiwa ni juhudi za kumuokoa, Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa T-Team, Syahrizan Mohd Zain alisema walielezwa alishapoteza maisha licha ya madaktari kuwa tayari kumsaidia.

DAILY MAIL

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox