STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 22 Novemba 2015

KIMENUKA SANTIAGO BERNABEU, RAIS WA KLABU ATAKIWA AACHIE NGAZI............



Real Madrid pamoja na kuwa nyumbani, imekumbana na kipigo cha mabao 4-0 kutoka kwa wapinzani wake hao wakubwa Barcelona.


Hasira za mashabiki wa Real Madrid sasa zimemuangukia Rais wa klabu hiyo, Florentino Perez na wanataka ajiuzulu kabisaaa.

Uamuzi huo unatokana na wao kuamini hawajibiki ipasavyo na timu hiyo imeingia katika matatizo makubwa ya kushindwa kucheza kwa kiwango huku yeye akiwa kimya.

Mashabiki hao wanaona wamepata aibu kubwa, kwani licha ya kuchapwa mabao hayo manne, lakini Barcelona ndiyo waliotawala mchezo wa dakika zote 90 hiyo jana huku wakionyesha soka la kuvutia kweli kweli.

Mashabiki waliokuwa uwanjani, walikuwa wakizomea huku wakiangalia upande aliokaa Perez ambaye walimuonyesha wanataka aachie ngazi.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox