

Story ya kusikitisha inayohusisha kifo cha mtu mmoja kilichotokana na ushabiki wa mpira, kimeripotiwa na gazeti la Hindustan Times.

Tukio hilo limetokea huko Nala Sopara, Mumbai nchini India.

Polisi nchini India wamesema, Durumchukwa alikuwa akisherehekea siku yake ya kuzaliwa na rafiki yake Nwabu Chukwuma, 22, katika apartment moja ya kukodi, mahala ambapo walianza kubishana juu ya nani kati ya Messi na Ronaldo ni bora kumzidi mwenzie.

Hakuna maoni:
Chapisha Maoni