STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumamosi, 23 Aprili 2016

JIONEE ORODHA YA WANAMICHEZO 10 TAJIRI UINGEREZA.............



April 23 2016 gazeti la Rich Times imetoa majina ya wanamichezo 10 wenye mkwanja mrefu kwa mwaka 2016 ndani ya Uingereza pekee, katika list hii majina mengi yaliotawala ni wanasoka kasoro namba 2, 3 na 10 ndio sio wanasoka, namba 2 wapo wachezaji tennis Andy na Jamie Murray, namba tatu yupo mchezaji golf Rory McIlroy huku namba 10 yupo bondia pekee Amir Khan.
 


Mwanamichezo tajiri kwa mwaka 2016 ni nahodha wa Man United Wayne Rooney ambaye ana utajiri wa pound milioni 82 ambazo ni zaidi ya bilioni 250, utajiri wa Rooney unatajwa kuongezeka kwa kiasi cha pound milioni 10 wakati bondia Amir Khan kiwango chake hakijaongezeka wala kupungua.


tajiri

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox