STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 24 Aprili 2018

HATIMAYE YANGA WAMEMPATA MRITHI WA LWANDAMINA, TAREHE 29 KITAELEWEKA TU

Mabingwa watetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga, huwenda ikamtambulisha rasmi kocha wake, Zahera Mwinyi ‘Mkongoman’ siku chache kabla ya kuwakabili watani wao wa jadi Simba SC Aprili 29 kwenye dimba la uwanja wa Taifa.
Mwinyi mwenye uraia wa nchi mbili Ufaransa na DR Congo anarithi mikoba iliyoachwa na aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu ya hiyo, George Lwandamina.
Kocha huyo mwenye sifa ya upole na asiyependa kuzungumza sana amewasili jana usiku huku kwamara yake ya kwanza kutua nchini alikuwa na benchi la ufundi la DR Congo na kupokea kipigo cha  mabao 2 – 1 kutoka kwa timu ya taifa ya Tanzania Taifa Stars mchezo wa kirafiki.
Kocha huyo alikuwa akiitajika na Yanga kwa mara kadhaa, amesema kuwa amekuja kufanya mazungumzo ya mwisho na wanajangwani hao huku akisema kuwa hapo awali ilikuwa ngumu kufuatia kuwa na mkataba na chama cha soka cha DR  Congo.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox