STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 18 Aprili 2018

HIKI HAPA KIKOSI BORA CHA MSIMU WA EPL, MAN CITY WATAWALA, CHELSEA NAO WAMETOA MCHEZAJI

Chama cha Wachezaji wa kulipwa nchini Uingereza (PFA), kimetaja orodha ya kikosi bora cha wachezaji wa ligi hiyo kwa msimu wa 2017/2018.
Katika kikosi hicho klabu ya soka ya Manchester United imefanikiwa kutoa wachezaji watano. Wakati huo huo Tottenham Hotspur imetoa wachezaji watatu kwenye kikosi hicho.

Kikosi cha wachezaji waliochaguliwa na PFA kwa msimu wa 2017/2018
Wachezaji waliotajwa kwenye kikosi hicho ni David De Gea, Kyle Walker, Jan Vertonghen, Nicolás Otamendi, Marcos Alonso, David Silva, Kevin De Bruyne na Christian Eriksen.
Wengine waliotajwa kwenye orodha hiyo ni Harry Kane, Mohamed Salah na Sergio Agüero.

PFA TEAM OF THE YEAR 2018 

GK: David de Gea (Man United) 
RB: Kyle Walker (Man City)
CB: Jan Vertonghen (Tottenham)
CB: Nicolas Otamendi (Man City)
LB: Marcos Alonso (Chelsea)
MID: David Silva (Man City)
MID: Kevin De Bruyne (Man City) 
MID: Christian Eriksen (Tottenham)
FWD: Harry Kane (Tottenham)
FWD: Mohamed Salah (Liverpool)
FWD: Sergio Aguero (Man City)

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox