STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 30 Novemba 2014

DI MARIA ATOA SIRI, HUWA HAANGALII MECHI ZA LIGI YA MABINGWA ULAYA

 Kiungo nyota wa Manchester United, Angel Di maria ameeleza machungu yake ya kutocheza Ligi ya Mabingwa Ulaya na kusema, kamwe huwa haangalii mechi hizo.

Di Maria ambaye ni mchezaji ghali zaidi England amesema wakati wa mechi za Ligi ya Mabingwa Ulaya, amekuwa akiutumia muda huo kucheza na mwanaye.
Hata hivyo, winga huyo aliyesajiliwa kwa pauni milioni 60 akitokea Real Madrid, anaamini Man United itarejea kwenye michuano hiyo msimu ujao.
Man United bado imekuwa inakwenda kwa muda wa kusuasua kutokana na kutopata matokeo mazuri kwenye Ligi kuu England.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox