STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Ijumaa, 22 Mei 2015

DAVID LUIS AKANUSHA KUWA YEYE NI BIKRA.

BEKI wa klabu ya Paris Saint-Germain ya Ufaransa, David Luis amevituhumu vyombo vya habari kukosa heshima baada ya kusambaza habari kuwa yeye bado hajawahi kukutana kimwili na mwanamke. 

Taarifa zilianza kuzagaa baada ya nyota huyo wa zamani wa Chelsea mwenye umri wa miaka 28, kuandika katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii kuwa anataka kusubiri mpaka wakati wa ndoa kabla ya kukutana kimwili na mpenzi wake. 

Akihojiwa Luiz amesema watu wanasema mambo ambayo hawayafamu kwani sio kweli kwamba hajawahi kukutana kimwili na mwanamke. Beki huyo aliendelea kudai kuwa tayari ameshakuwa na wapenzi zaidi ya mmoja katika maisha yake hivyo watu wanapaswa kuheshimu maisha binafsi ya mtu

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox