STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 17 Mei 2015

MAN CITY YAISURUBU SWANSEA

Toure akifunga moja ya goli lake leo

SWANSEA City ikiwa mbele ya mashabiki wake 20669 ndani ya dimba la nyumbani la Liberty imebomolewa mikwaju 4-2 dhidi ya wageni wao Manchester City katika mechi ya ligi kuu soka England iliyomalizika jioni hii.
Kiungo wa kimataifa wa Ivory Coast, Yaya Toure amepiga magoli mawili dakika ya 21' na 74.
The Ivorian unleashed a venomous strike that Lukasz Fabianski couldn't deal with in the Swansea net
James Milner naye amefunga goli moja katika dakika ya 36' wakati dakika za usiku Wifried Bonny ametupia msumari wa nne.
Magoli ya kufutia machozi kwa Swansea yalifungwa na Gylfi Sigurdsson dakika ya 45' na Bafetimbi Gomis dakika ya 64'.
Toure gave Manchester City the perfect start when he scored the first goal of the game in the 21st minute
TAKWIMU ZA MECHI HIYO
statistics :
8
shots on target
11
3
shots off target
6
47
possession (%)
53
11
corners
7
1
offsides
2
8
fouls
8
0
yellow cards
3
6
goal kicks

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox