STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 21 Mei 2015

WAKATI ANCELOTTI AKIJIANDAA KUIAGA MADRID JUMAPILI, HUYU KOCHA ANAKARIBISHWA BERNABEU

GAZETI la kila siku la Hispania, AS, limeikariri Sky Sport Italia wakiripoti kuwa Carlo Ancelotti anaondoka Real Madrid jumapili ya juma hili.
Real Madrid watahitimisha msimu wa 2014-15 bila kombe lolote na hali hiyo ya ukame  imetia mchanga kibarua cha Ancelotti.
AS wanaripoti kwamba baada ya msimu kuisha, Ancelotti atakutana na rais wa klabu, Florentino Perez na wawili hao kwa pamoja wataafikiana  kuvubja mkataba unaotakiwa kumalizika juni 30 mwaka 2016.
Wakati Ancelotti akiondoka Bernabeu, tetesi zinasema Real inamfukuzia Benitez au kocha wa sasa anayeondoka Borussia Dortmund, Jurgen Klopp.
Benitez, kocha wa zamani wa timu ya vijana ya Real Madrid ambaye pia aliwapa makombe mawili ya La Liga, Valencia anapewa nafasi kubwa zaidi ya kumrithi Ancelotti.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox