STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 21 Mei 2015

KOCHA WA STARS KUJADILIWA JUMAPILI, AONDOKE AU ABAKI?

RASMI! kamati ya Utendaji ya Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini TFF inatarajiwa kukutana jumapili mei 24 mwaka huu ikiwa ni kikao cha kawaida cha kamati hiyo.

Moja ya ajenda katika kikao hicho itakua ni kupokea na kujadili mienendo, maandalizi na maendeleo ya timu zetu za Taifa za mpira wa miguu nchini hususani Taifa Stars.
Stars imelitia aibu soka la Tanzania baada ya kufungwa na nchi vibonde za Swaziland na Madagascar na kutupwa nje ya michuano ya Cosafa.
Kupitia akaunti yake ya Twitter (Rejea habari za mwanzo za mtandao huu),  Rais wa TFF  amesikitishwa na matokeo ya Stars akidai kuwa wamewekeza fedha nyingi lakini matokeo si mazuri.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox