STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 17 Novemba 2015

BAADA YA TUKIO LA KIGAIDI UFARANSA HAYA NDO MAAMUZI JUU YA LIGI KUU NCHINI HUMO.............

Tokeo la picha la ligue 1
 
 
WAZIRI wa michezo wa Ufaransa, Thierry Braillard amebainisha kuwa mechi za Ligi Kuu ya nchi hiyo maarufu kama Ligue 1 na ligi daraja pili au Ligue 2 zinatarajiwa kuendelea kama zilizopangwa mwishoni mwa wiki hii, wiki moja baada ya mashabulio ya kigaidi jijini Paris. 
 
Mwishoni mwa wiki iliyopita ratiba kadhaa za michezo ndani na maeneo mengine kuzunguko mji huo zilisimamishwa kufuatia matukio hayo ya kigaidi ambayo yamepeleka vifo vya zaidi ya watu 129. 
 
 Tokeo la picha la ligue 1
 
Kufuatia kikao cha kati ya wizara ya mambo ya ndani na Bodi ya Ligi ya nchi hiyo, Braillard amesema waliafikiana kuwa mechi za ligi za mwishoni mwa wiki hii ziendelee kuchezwa kama zilivyopangwa.
 
 Kikubwa kitakachofanyika katika mechi hizo ni kuongeza hali ya usalama katika maeneo yote ya nchi hiyo ili kuhakikisha hakuna tukio lingine linatokea.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox