STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Alhamisi, 19 Novemba 2015

PSG KUVAA JEZI MAALUM KUOMBOLEZA SHAMBULIZI LA KIGAIDI LA UFARANSA.........


 

Mabingwa wa Ufaransa, Paris Saint-Germain watavaa jezi maalum zinazotoa pole ikiwa ni sehemu ya kuonyesha wanaombeleza lile tukio la magaidi walioshambulia jiji la Paris.

Magaidi walishambulia maeneo mbalimbali ya Paris na kuua watu 129.
Hali hiyo ilizua hofu katika maeneo mbalimbali ya Paris na Ufaransa yote, pia nchi jirani.
Lakini shambulio hilo lilisababisha hofu hadi katika michezo kutokana na washambuliaji watatu kujiripua nje ya Uwanja wa soka wakati Ufaransa ikicheza na Ujerumani, mechi ya kirafiki.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox