STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 24 Aprili 2016

HUYU NDO MWAFRIKA WA KWANZA KUCHUKUA TUZO KUBWA NCHINI UINGEREZA..............

 



Usiku wa April 24 imetangazwa habari njema kwa soka la Afrika, baada ya winga mshambuliaji wa kimataifa wa Algeria anayeichezea klabu ya Leicester City ya Uingereza Riyad Mahrez kutangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya PFA 2015/2016 (Professional Footballers Association) na kuwa Mwafrika pekee kufanikiwa kuchukua tuzo hiyo..

Leicester City star Riyad Mahrez has been named as the 2016 PFA Player of the Year award after a glorious campaign

Riyad Mahrez ametangazwa kushinda tuzo hiyo mbele ya wachezaji kama Mesut Ozil wa Arsenal, Jamie Vardy wa Leicester City, Harry Kane wa Spurs, N’golo Kante wa Leicester City, Dimitri Payet wa West Ham United, PFA ni tuzo za wachezaji bora wa kulipwa.
Mahrez said he was 'grateful' for the award adding that it was a 'pleasure' after collecting the prestigious gong
Mahrez akizungumza baada ya kupoke tuzo pembeni kushoto ni kocha wake Claudio Ranieri

 Kama utakuwa unakumbuka vizuri Riyad Mahrez ndio alikuwa mchezaji wa Algeria aliyefunga goli la nne dakika ya 43 katika ushindi wa goli 7-0 dhidi ya Taifa Stars November 17 2015 na kuIondoa Tanzania katika mbio za kuwania kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2018.

Mahrez scored his 17th Premier League goal of the season with this strike against Swansea during their 4-0 victory earlier on Sunday
Mahrez akifunga goli lake la 17 kwenye mchezo dhidi ya Swansea walipo pata ushindi wa 4-0

                        MAHREZ'S PREMIER LEAGUE STATS 

Appearances: 34
Goals: 17
Assists: 11 



Jamie Vardy (right) was presented with a commemorative plate in recognition of his consecutive goalscoring record earlier this season
Jamie Vardy akikabidhiwa tuzo baada ya kuvifunga vilabu 11 mfululizo.
 
Vardy's plate includes the 11 crests of the clubs he scored against in his record-breaking run, as well as the badge of Leicester
Vardy akiwa na tuzo yake baada ya kuvifunga vilabu 11 mfululizo katika ligi kiwa ni rekodi.

 
Kiungo chipukizi mwenye miaka 20 wa  Tottenham, Dele Alli ambae mpaka hivi sasa ameshafunga magoli 10 na kutoa assist 9 mpaka hivi sasa amefanikiwa kushinda tuzo ya chipukizi bora wa msimu.

Mwingereza huyo amewashinda Ross Barkley,Romelu Lukaku wa Everton, goli kipa wa Stoke City Jack Butland,kiungo wa  Liverpool Philippe Coutinho na mchezaji mwenzake wa  Tottenham  Kane.


 Ryan Giggs amepewa tuzo ya heshima PFA Merit Award usoiku wa jana

Makocha wa timu za taifa ambazo zipo chini ya malkia wa Uingereza nao walipewa tuzo ya heshima baada ya kufanikisha mataifa yao kufudhu katika michuano ya Euro-2016 nchini Ufaransa.

(Left to right) Hodgson, Martin O'Neill, Chris Coleman and Michael O'Neill pose with commemorative plates after reaching Euro 2016 
Makocha hao ni Uingereza ( Roy Hodson),Wales (Chris Coleman), Northern Ireland (Michael O'Neill) na Martin O'Neill wa Republic of Ireland.




Manchester City's Izzy Christiansen poses after winning the PFA Women's player of the Year award
Mchezaji wa timu ya wanawake ya Manchester City Izzy Christiansen ameshinda tuzo ya  PFA Women's player of the Year award
Sunderland Ladies' Beth Mead poses after winning the PFA Young Women's player of the Year award
Mchezaji wa timu ya wanawake ya Sunderland  Beth Mead ameshinda tuzo ya PFA Young Women's player of the Year award.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox