STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumapili, 17 Aprili 2016

SIMBA YACHEZEA KICHAPO KATIKA LIGI KUU..................

 

Toto Africans ya mkoani MWanza wamewazuia Simba SC kurejea kileleni hii leo baada ya kuifunga Simba SC goli 1-0 katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom, ikiwa ni mchezo wa pili mfululizo Simba SC wakipoteza.


 

Kabla ya mchezo wa leo Simba SC walipoteza mbele ya Coastal union katika mchezo wa kombe la TFF, na leo wamepoteza tena mbele ya Toto Africans katika mchezo wa ligi kuu ya vodacom uliochezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam.


Katika mchezo wa leo Simba SC walitawala mchezo lakini walikosa mbinu ya kujaza mpira kwenye nyavu za Toto African na wakati Toto African muda mwingi wakiwa wanajilinda na kupeleka mashambulizi ya kushtukiza.

Alikuwa Waziri Junior aliye waliza Simba SC katika dakika ya 21 kwa ashuti la mit 24 akimalzia mpira aliotengewa na Edward Christp[her kwa kichwa na Wazir kuindikia Toto goli pekee la ushindi hii leo.

Katika kipindi cha kwanza koca wa Simba SC Jackson Mayanja alizawadiwa kadi nyekundu na kupelekea kuondolewa katika benchi.


 


KAtika kipindi ca pili dakika ya 47 beki Hassana Kessi wa Simba SC alizawadiwa kadi nyekundu na kupeleka Simba SC kumaliza wakiwa pungufu uku wakikubali kichapo cha goli 1-0 toka kwa Toto Africans.

Hassan Kessy baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu

            MSIMAMO WA LIGI KUU BAADA YA MCHEZO WA LEO

RnTimuPWDLFAGdPts
1YANGA24185157134459
2SIMBA SC25183443142957
3Azam FC24167141162555
4MTIBWA SUGAR26127729191043
5T. PRISONS26101152321241
6MWADUI FC2697102525034
7STAND UNITED25104112222034
8NDANDA FC2771282627-133
9MAJIMAJI FC2696112034-1433
10MBEYA CITY2686122833-530
11TOTO AFRICANS2779112536-1130
12KAGERA SUGAR2767141931-1225
13JKT RUVU2566132434-1024
14MGAMBO SHOOTING2658132032-1223
15AFRICAN SPORT2765161130-1923
16Coastal Union2757151637-2122

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox