STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumanne, 19 Mei 2015

UEFA KUIFANYIA MAREKEBISHO SHERIA KALI YA MATUMIZI YA FEDHA ZA ZIADA WA VILABU.

SHIRIKISHO la soka la Ulaya-UEFA linajiandaa kulegeza sheria ya mwaka 2011 inayozuia vilabu vya bara hilo kufanya matumizi ya ziada. 
 
Katika mahojiano na redio ya Ufaransa RTL, rais wa UEFA Michel Platini amesema kuwa sheria hiyo ilikuwa ikifanya kazi vizuri lakini itaboreshwa zaidi mwishoni mwa msimu huu. 
 
Hatua hiyo inafuatia ripoti katika gazeti la Le Parisien siku ya jumapili iliyosema kuwa kuna mabadiliko muhimu yatakayofanywa katika sheria hiyo. 
 
Manchester City, Barcelona na Paris Saint-Germain wamekuwa wahanga wa kwanza wa sheria hiyo baada ya kupigwa faini na adhabu mwaka jana.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox