Zikiwa zimebaki mechi kadhaa kumalizika kwa ligi kuu ya Uingereza chama cha wachezaji wa kulipwa nchini humo PFA kimetangaza kikosi bora cha msimu wa 2015-2016.
Leicester City pamoja na Tottenham wametoa wachezaji wanne kwenye kikosi hicho huku West Ham wakitoa mchezaji mmoja pamoja na Arsenal vilevile Manchester United.
WACHEZAJI WALIOCHAGULIWA KATIKA KIKOSI BORA CHA MSIMU WA 2015/2016 LIGI KUU YA UINGEREZA;
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni