STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 20 Aprili 2016

KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO DHIDI YA AL AHLY HIKI HAPA, YONDAN, TWITE NJE..

Kocha Hans van der Pluijm amefanya mabadiliko katika safu yake ya ulinzi . Mholanzi huyo amewaanzisha kwa pamoja Vicent Bossou na Nadir Haroub na kumtupa benchi Kelvin Yondani.  Juma Abdul na Oscar Joshua wanakamilisha safu ya ulinzi.


Yanga itaivaa na Al Ahly leo Saa 2:30 usiku  kwa saa za Afrika Mashariki katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 bora  ya Ligi ya Mabingwa Afrika.

Thaban Kamusoko na  Haruna Niyonzima aliyekosa mchezo wa kwanza kutokana kutumikia adhabu ya kadi mbili za njano wamepangwa kwenye nafasi ya kiungo.

Kikosi kamili cha Yanga: Deogratius Munishi, Juma Abdul, Oscar Joshua, Nadir Haroub, Vicent Bossou, , Thaban Kamusoko, Simon Msuva, Haruna Niyonzima, Deus Kaseke, Amissi Tambwe, Donald Ngoma
Akiba: Ally Mustapha, Mbuyu Twite, Kelvin Yondani,  Issoufu Boubacar, Salum Telela, Malimi Busungu, Paul Nonga.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox