Kocha Hans van der Pluijm amefanya mabadiliko katika safu yake ya
ulinzi . Mholanzi huyo amewaanzisha kwa pamoja Vicent Bossou na Nadir
Haroub na kumtupa benchi Kelvin Yondani. Juma Abdul na Oscar Joshua
wanakamilisha safu ya ulinzi.
Yanga itaivaa na Al Ahly leo Saa 2:30 usiku kwa saa za Afrika
Mashariki katika mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 bora ya Ligi ya
Mabingwa Afrika.
Thaban Kamusoko na Haruna Niyonzima aliyekosa mchezo wa kwanza
kutokana kutumikia adhabu ya kadi mbili za njano wamepangwa kwenye
nafasi ya kiungo.
Kikosi kamili cha Yanga: Deogratius Munishi, Juma Abdul, Oscar
Joshua, Nadir Haroub, Vicent Bossou, , Thaban Kamusoko, Simon Msuva,
Haruna Niyonzima, Deus Kaseke, Amissi Tambwe, Donald Ngoma
Akiba: Ally Mustapha, Mbuyu Twite, Kelvin Yondani, Issoufu Boubacar, Salum Telela, Malimi Busungu, Paul Nonga.
TANGAZA NASI: +255 655 442 255
CHANZI OPEN SCHOOL
Jumatano, 20 Aprili 2016
Home
/
Unlabelled
/
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO DHIDI YA AL AHLY HIKI HAPA, YONDAN, TWITE NJE..
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA LEO DHIDI YA AL AHLY HIKI HAPA, YONDAN, TWITE NJE..
About asantemuya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni (Atom)
KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA
Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...
Hakuna maoni:
Chapisha Maoni