STAY WITH US

LightBlog

Breaking

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

TANGAZA NASI: +255 655 442 255

CHANZI OPEN SCHOOL

CHANZI OPEN SCHOOL

Jumatano, 27 Aprili 2016

LILE SUALA LA NGOMA LA KUMPIGA "KIPEPSI" KESSY KUSIKILIZWA JUMAPILI, ANGALIA MASHAURI MENGINE

Kikao cha Kamati ya Nidhamu ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) kinatarajiwa kufanyika Jumapili, Mei Mosi 2016 jijini Dar es salaam.

Kamati hiyo ya Nidhamu itapitia mashauri mbalimbali yaliyowasilishwa.  Wafuatao kesi zao sitasikilizwa katika kikao hicho:

(i)  John Bocco – Azam FC
(ii) Shomari Kapombe – Azam FC
(iii) Aishi Manula – Azam FC
(iv) Amissi Tambwe – Yanga SC
(v) Donald Ngoma  - Yanga SC
(vi) Paulo Jinga – JKT Rwamkoma FC
(vii) Kipre Tchetche – Azam FC
(viii) Abel Katunda – Transit Camp
(ix) Zephlyn Laurian – JKT Rwamkoma FC
(x) Idrisa Mohamed – JKT Rwamkoma
(xi) DR. Mganaga Kitambi (Daktari) – Coastal Union
(xii)  Herry Chibakasa – Friends Rangers
(xiii) Ismail Nkulo – Polisi Dodoma
(xiv) Said Juma – Polisi Dodoma
(xv)  Idd Selaman – Polisi Dodoma
(xvi) Edward Amos – Polisi Dodoma
(xvii) Stewart Hall (Kocha)– Azam FC

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni

KAMATI YA TUZO IMEFANYA MCHUJO KWENYE WACHEZAJI 30 WAMEBAKI 15, MKUDE, AJIBU WAMETOLEWA, ANGALIA ORODHA

Kamati ya Tuzo za Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), iliyokutana wiki hii imeteua wachezaji 15 kwa ajili ya kuwania Tuzo ya Mchezaji Bora wa VPL msi...

TIBA YA KIIMANI

TIBA YA KIIMANI

a

a
Adbox